Tanzania Yatwaa Kombe la Dunia

Baadhi ya wachezaji wa kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ya watoto wa mitaani

Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania imetwaa ubingwa wa Dunia wa Watoto wa Mitaani baada ya jana (Aprili 6 mwaka huu) kuilaza Burundi mabao 3-1 katika mchezo wa fainali uliochezwa jijini Rio de Janeiro, Brazil.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS