Jiandikisheni Daftari likipita halirudi- Mhagama

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Uratibu na Bunge Mh. Jenista Muhagama.

Serikali imewataka wananchi wajitokeza kwa wakati kujiandikisha katika Daftari la kudumu la mpiga kura kwa mfumo wa BVR na wazingatie muda uliowekwa na Tume kwa kuwa hakutakuwa na uandikishaji mwingine baada ya zoezi hilo kupita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS