Wakimbizi Nyarugusu waililia Jumuiya ya Kimataifa

Kambi ya wakimbizi Nyarugusu

Wakimbizi wa Burundi walio katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu wilayani Kasulu mkoani Kigoma, wameiomba Jumuia ya kimataifa kuendelea kuishinikiza serikali ya Burundi kutofanya uchaguzi na kushughulikia mgogoro wa nchi hiyo mapema.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS