Nooij awaaga watanzania, Mkwasa kuinoa Stars

Kocha Boniface Mkwasa

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania - TFF, Jamal Malinzi leo ameagana rasmi na aliyekua kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, mholanzi Mart Nooij.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS