staa wa muziki wa nchini Mali Salif Keita akiwa na msanii Lady Jaydee
Star mkongwe wa muziki Afrika, Salif Keita ametoa wito kwa watu wenye ulemavu wa ngozi kuongezewa ulinzi hususan katika nchi ya Tanzania, katika kuelekea uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.