Bwana Misosi kurejesha jina

staa wa miondoko ya bongofleva Bwana Misosi

Mkongwe katika gemu Bwana Misosi ameweka mkakati mkubwa wa kurejea katika kilele cha chati za muziki wa Bongofleva ndani ya miezi miwili ijayo, akiwa na kazi na damu changa zinazofanya vizuri katika gemu kwa sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS