CCM Arusha kuwashughulikia wanaokihujumu chama

Katibu wa ccm wilaya ya Arusha mjini Feruzi L. Bano kulia akimpa maelekezo mtia nia wa kugombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini kwa tiketi ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM), MKoa wa Arusha kimesema viongozi ambao wameweka mguu mmoja CCM na mwingine upinzani, ni bora watoke mara moja wawaachie chama chao kuliko kuhujumu chama hicho, vinginevyo watashughulikiwa vikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS