JK ajivunia kazi iliyofanywa na vikosi vya usalama

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi liliandaliwa na vikosi mbalimbali wakati wa sherehe ya kuagwa rasmi na vyombo vya Usalama.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameviaga vikosi vya usalama nchini huku akijivunia ufanyaji wao kazi na kuiweka nchi salama pamoja na raia wake licha ya changamto wanazokumbana nazo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS