Mama yao akina Kirya kuzikwa kesho

Staa wa muziki Maurice Kirya akiwa na marehemu mama yake Sophie Baguma Munobi

Marehemu Sophie Baguma Munobi, mama mzazi wa wasanii Vampino, Sabasaba na Maurice Kirya siku ya leo amefanyiwa ibada ya mwisho huko katika kanisa la St James, Makindye Kampala nchini Uganda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS