Staa wa muziki Maurice Kirya akiwa na marehemu mama yake Sophie Baguma Munobi
Marehemu Sophie Baguma Munobi, mama mzazi wa wasanii Vampino, Sabasaba na Maurice Kirya siku ya leo amefanyiwa ibada ya mwisho huko katika kanisa la St James, Makindye Kampala nchini Uganda.