Tatizo la umeme kumalizika Oktoba: TANESCO Meneja Mawasiliano wa Tanesco Adrian Mvungi Shirika la Umeme nchini TANESCO limesema kuwa tatizo la upungufu wa Umeme linalofanya umeme ukatike mara kwa mara nchini litamalizika ifikapo katikati ya mwezi wa kumi au mwanzoni mwa mwezi Novemba. Read more about Tatizo la umeme kumalizika Oktoba: TANESCO