Wazee Arumeru wakabiliwa na ugumu wa maisha

Mzee Joshua Mbise mmoja wa wazee wa Kijiji cha Kong'ori Wilayani Arumeru Mkoani Arusha

Wazee wanaoishi katika kijiji cha King`ori wilaya ya Arumeru mkoani Arusha wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa huduma za afya pamoja huduma ya maji safi pamoja na upatikanaji hafifu wa mahitaji muhimu ya chakula, mavazi na malazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS