Mtafiti na mwanaharakati wa afya ya jamii, Dk. Bertha Maegga
Serikali imeombwa kupitia upya mfumo wa biashara ya kuuza pombe, pamoja na kuangalia uwezekano wa kutenga kodi, itokanayo na bidhaa hiyo, ili ihudumie madhara yanayosababishwa na unywaji wa pombe.