Yanga yalipa kisasi, ‘yaua mnyama’ dimba la taifa
Klabu ya Yanga leo imewapa raha wapenzi na mashabiki wake hii leo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya watani wao wa jadi Simba SC katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa katika dimba la Taifa jijini Dar es salaam.
Mabao ya Yanga yamefungwa na Amis Tambwe dakika ya 44 na Malimi Busungu dakika ya 79.