Mgombea nafasi ya ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bw. Fredrick Mwakalebela.
Mgombea nafasi ya ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bw. Fredrick Mwakalebela ameahidi kuanzisha VOCOBA na kutoa mikopo kwa akina mama ili kuinua uchumi wao.