Kilimo,Viwanda vyapewa kipaumbele kampeni za urais

Mgombea Urais kupitia chama cha CHAUMMA, Hashim Rungwe

Zikiwa zimebaki siku 5 tu kufikia Oktoba 25 ambapo Uchaguzi Mkuu utafanyika kampeni za kugombea nafasi mbalimbali zimeendelea kushika kasi huku wagombea urais wakiendelea kutoa ahadi zaidi wakisisitiza kilimo na Viwanda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS