Kilimo,Viwanda vyapewa kipaumbele kampeni za urais
Zikiwa zimebaki siku 5 tu kufikia Oktoba 25 ambapo Uchaguzi Mkuu utafanyika kampeni za kugombea nafasi mbalimbali zimeendelea kushika kasi huku wagombea urais wakiendelea kutoa ahadi zaidi wakisisitiza kilimo na Viwanda.