Tanzania ya 2 kuwa na chuo cha jeshi cha sayansi

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga taifa Dkt. Hussein Mwinyi.

Tanzania imekua nchi ya pili barani Afrika kuwa na chuo cha kijeshi cha sayansi za tiba chenye ukubwa na vifaa vya kisasa vya kutolea mafunzo ya sayansi za tiba ngazi ya shahada kwa wanajeshi wa hapa nchini na wale wanaotoka nchi mbalimbali za SADC

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS