Watafiti watakiwa kuacha kutoa matokeo ya urais

Rashid Rai (katikati), akizungumza katika mkutano. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha UMD, Moshi Kigundula.

Viongozi wa vyama vya siasa vitano wametoa tamko la amani ambapo wamezitaka tasisi zinazojishughulisha na masuala ya utafiti kuacha mara moja kwa kile walichodai matokeo ya tafiti hizo yanawatishia wapiga kura.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS