Korea yamtunuku ubalozi Rufftone

Msanii wa muziki wa nchini Kenya Rufftone

Msanii wa muziki wa nchini Kenya, Rufftone amekabidhiwa rasmi barua ya uthibitisho kama Balozi wa Mahusiano Mema kati ya Korea Kusini na nchi ya Kenya, akitajwa kupatiwa nafasi hiyo kutokana na mchango wake mkubwa kubadilisha maisha ya vijana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS