Mwijage awapiga mkwara wenyeviti, madiwani wa CCM.

Makamu mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Severina Mwijage

Makamu mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Severina Mwijage, amewataka wananchi kuwapiga vita na kuto wathamini mabalozi na wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwasababu hawatambuliki kikatiba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS