Bebe Cool ahaha kumsaidia mtoto mgonjwa

Msanii wa muziki Bebe Cool wa nchini Uganda

Msanii wa muziki Bebe Cool wa nchini Uganda amejikita katika shughuli ya hisani kuchanga fedha za matibabu ya mtoto mwenye tatizo kubwa la moyo anayejulikana kwa jina Israel.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS