Bebe Cool ahaha kumsaidia mtoto mgonjwa Msanii wa muziki Bebe Cool wa nchini Uganda Msanii wa muziki Bebe Cool wa nchini Uganda amejikita katika shughuli ya hisani kuchanga fedha za matibabu ya mtoto mwenye tatizo kubwa la moyo anayejulikana kwa jina Israel. Read more about Bebe Cool ahaha kumsaidia mtoto mgonjwa