Ujenzi binafsi wawafanya watumishi wasinufaike

Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Makazi kwa watumishi wa Umma Dkt. Fredrik Msemwa

Tafiti zinaonesha kuwa nyumba zote zilizojengwa bila kukamilika hapa nchini thamani yake ni kubwa kuliko fedha zote zilizopo kwenye mabenki kwa kuwa watumishi wengi hupoteza fedha zao katika ujenzi usiokamilika na kuchukua muda mrefu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS