Konshens kufanya makubwa Ke

Staa wa muziki wa dancehall kutoka Jamaica Konshens

Ziara kubwa ya star wa muziki wa Jamaica Konshens katika bara la Afrika inatarajiwa kuanza kwa burudani kali ambayo msanii huyo atafanya nchini Kenya siku ya leo kabla ya kuelekea Juba huko Sudan na baadaye Zimbabwe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS