Mitihani inaendelea kama kawaida - NECTA

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Taifa NECTA Dkt. Charles Msonde, amesema pamoja na kuwa kesho ni siku ya mapumziko, mitihani ya kidato cha nne iliyoanza wiki hii itaendelea kama ratiba ilivyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS