TANESCO kuzima mitambo mingine ya umeme

Meneja wa Tanesco kituo cha kuzalisha umeme cha kidatu Mhandisi Justus Mtolela

Shirika la umeme nchini hivi karibuni kinatarajia kuzima kituo kingine cha kuzalisha umeme cha kidatu kinachotegemea maji kutoka bwawa la mtera hivi karibuni kutokana na kuishiwa maji kwa ajili ya kuendesha mitambo hiyo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS