Mitihani inaendelea kama kawaida - NECTA Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Taifa NECTA Dkt. Charles Msonde, amesema pamoja na kuwa kesho ni siku ya mapumziko, mitihani ya kidato cha nne iliyoanza wiki hii itaendelea kama ratiba ilivyo. Read more about Mitihani inaendelea kama kawaida - NECTA