Watanzania watakiwa kuzilinda tunu za taifa Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), Joseph Butiku, Watanzania wameaswa kuzilinda tunu Muhimu za taifa ambazo ni Amani, Umoja na Haki ili kuepuka machafuko na kupita salama katika uchaguzi mkuu naotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu. Read more about Watanzania watakiwa kuzilinda tunu za taifa