Watanzania watakiwa kuzilinda tunu za taifa

Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), Joseph Butiku,

Watanzania wameaswa kuzilinda tunu Muhimu za taifa ambazo ni Amani, Umoja na Haki ili kuepuka machafuko na kupita salama katika uchaguzi mkuu naotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS