Mgombea ACT,Njombe avamiwa wakati akifanya kampeni
Mgombea wa ACT-Wazalendo jimbo la Njombe Kusini, Emilian Msigwa akiongea na Wanakijiji cha Ihanga
Mgombea wa ACT-Wazalendo jimbo la Njombe Kusini, Emilian Msigwa amenusurika kupigwa na watu wanao daiwa ni wafuasi wa chama cha mapinduzi (CCM) akiwa katika mkutano wa kampeni za uchaguzi.