Mgombea ACT,Njombe avamiwa wakati akifanya kampeni

Mgombea wa ACT-Wazalendo jimbo la Njombe Kusini, Emilian Msigwa akiongea na Wanakijiji cha Ihanga

Mgombea wa ACT-Wazalendo jimbo la Njombe Kusini, Emilian Msigwa amenusurika kupigwa na watu wanao daiwa ni wafuasi wa chama cha mapinduzi (CCM) akiwa katika mkutano wa kampeni za uchaguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS