NEC yatangaza uchaguzi Arusha Mjini,Handeni Mjini

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania (NEC) imetanga uchaguzi wa majimbo ya Arusha mjini na Handeni Mjini mkoani Tanga utafanyika tarehe 13 Desemba, baada ya kuahirishwa kufuatia kufariki kwa wagombea ubunge katika majimbo hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS