Waangalizi uchaguzi wasema hawataingilia mchakato

Kiongozi wa Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi toka nchi za Jumuiya ya Africa Mashariki, Moody Awori.

Kiongozi wa Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi toka nchi za Jumuiya ya Africa Mashariki, Moody Awori amesema kuwa hawataingilia Uchaguzi Mkuu bali wataangalia tu taratibu na sheria za uchaguzi kama zitafuatwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS