Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipiga kura Jana
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema mara atakapostaafu nafasi hiyo ya juu ya uongozi mwaka huu anatarajia kuanzisha taasisi ya maendeleo Afrika na Dunia.