Rais Magufuli aombwa kuleta maendeleo kwa wote

Rais Dk. John Magufuli akiwa ameshika mkuki na ngao baada ya kukabidhiwa na wazee katika hafla ya kumuapisha iliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Uhuru

Wakazi wa mikoa tofauti nchini Tanzania wamempongeza Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na kumuomba awatumikie watanzania wote bila kujali itikadi zao za vyama vya kisiasa au dini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS