CUF kupinga matokeo ya ubunge majimbo sita

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa(kulia) akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Tabora Mjini kwa tiketi ya CUF, Peter Mkufya

Chama cha wananchi CUF kimesema kuwa kitakwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi wa wabunge wa majimbo sita ambayo wanadai taratibu za uchaguzi zilikiukwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS