MwanaCCM mbaroni kwa kujeruhi wanachama wa CUF
Jeshi la polisi mkoani Tanga limemtia mbaroni mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Julius Joseph kufuatia kuwajeruhi wafuasi wawili wa chama cha wananchi (CUF) kwa kuwakata kwa kutumia shoka na panga.