MwanaCCM mbaroni kwa kujeruhi wanachama wa CUF

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Kamishna msaidizi wa Polisi Zubeir Mwombeji

Jeshi la polisi mkoani Tanga limemtia mbaroni mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Julius Joseph kufuatia kuwajeruhi wafuasi wawili wa chama cha wananchi (CUF) kwa kuwakata kwa kutumia shoka na panga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS