Bon'eye amtetea Dj aliyeharibu

Nyota wa muziki Bon'eye kutoka kundi la P Unit

Nyota wa muziki Bon'eye kutoka kundi la P-Unit ametoa maoni yake kuhusiana na tukio la video chafu ya DJ maarufu kutoka Kenya 'Dj Creme De La Creme' kuvuja mtandaoni na kukamata vichwa vya habari kwa sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS