Nuh akiri kutegwa auze 'Poda'

Nuh Mziwanda

Msanii Nuh Mziwanda ameweka wazi kuwa, katika safari yake ya muziki baada ya kusimama kama msanii binafsi, aliwahi kushawishiwa kuingia katika biashara ya dawa za kulevya na baadhi ya mabosi ambao aliwafuata kuwaomba msaada kuendesha muziki wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS