Mawaziri CUF(SUK), Zanzibar waachia ngazi

Aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Said Ally Mbarouk.

Kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi Mkuu Zanzibar, mawaziri saba pamoja na manaibu wao wanaounda Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kutoka chama cha Wananchi(CUF), wamejiuzulu kutokana na kile walichodai kuwa ni kuheshimu Katiba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS