Njombe mwenyeji usafi wa mazingira kitaifa

Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi. Sarah Dumba akipanda mti ikiwa ni ishara ya upandaji miti na Utunzaji wa Mazingira Mkoani Njombe

Mkoa wa Njombe wanatarajia kuwa wenyeji wa maadhimisho wiki ya usafi wa mazingira na uchimbaji choo ambapo kitaifa yatafanyika mkoani humo na kufanyika kwa maonesho mbalimbali ya usafi wa mazingira na uboreshaji wa vyoo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS