Bebe Cool amponda DJ Erycom

Bebe Cool

Msanii wa muziki Bebe Cool wa nchini Uganda, amemrushia maneno makali DJ maarufu wa nchi hiyo, Erycom ambaye anafanya kazi zake barani Ulaya, baada ya kuudhiwa na kauli aliyotoa kumhusisha Rais Yoweri Museveni kuwa anaiongoza nchi hiyo na udikteta.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS