Bebe Cool amponda DJ Erycom
Msanii wa muziki Bebe Cool wa nchini Uganda, amemrushia maneno makali DJ maarufu wa nchi hiyo, Erycom ambaye anafanya kazi zake barani Ulaya, baada ya kuudhiwa na kauli aliyotoa kumhusisha Rais Yoweri Museveni kuwa anaiongoza nchi hiyo na udikteta.