WHO, Serikali na Wadau kukikabili kipindupindu
Shirika la afya ulimwenguni WHO , serikali ya Tanzania na wadau wengine wa afya wanahaha kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu ulionea katika mikoa 17 nchini humo na kuathiri zaidi ya watu 8,000 huku zaidi ya 100 wakifariki dunia kutokana na mlipuko huo