Nasajili wanaojituma kuboresha kikosi: Kocha Shime

Kocha Mkuu wa Mgambo Shooting Bakari Shime amesema anatarajia kufanya usajili kwa kuangalia wachezaji wanaojituma uwanjani ili kuweza kufanya vizuri katika muendelezo wa michuano ya ligi kuu ya soka Tanzania Bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS