Posi: Albino washirikishwe katika kutunga sheria

Watu wenye Albinism wakiwa katika Mkutano

Mhadhiri wa sheria wa chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) Dkt. Abdallah Posi ameshauri kuwepo kwa ushirikishwaji wa watu wenye albinism katika masuala ya ubadilishaji au utungwaji sheria ambazo zitawasaidia kuwalinda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS