Yanga,African Sports kesho,Azam kuifuata Majimaji

Michuano ya Ligi kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea hapo kesho kwa kupigwa mchezo mmoja ambapo mabingwa watetezi Yanga watakutana na African Sports ya jijini Tanga katika mchezo utakaopigwa Uanja wa Mkwakwani jijini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS