Maji yaua watu 8 Dodoma, 6 wa familia moja Watu wanane wamefariki dunia Mkoani Dodoma wakiwemo watu sita wa familia moja baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji katika eneo la Bwawani mji mdogo wa Kibaigwa Wilaya ya Kongwa. Read more about Maji yaua watu 8 Dodoma, 6 wa familia moja