Mshambuliaji kinda wa Liverpool Jordon Ibe akishangilia baada ya kufunga bao katika moja ya mechi za ligi kuu nchini Uingereza.
Klabu ya soka ya Liverpool hapo jana ilifanikiwa kuifunga stoke city bao 1-0 katika mchezo wa kwanza wa hatua ya Nusu fainali ya michuano ya Capital One katika mchezo uliopigwa dimba la Brittania.