Vituo vya afya vyakabiliwa na upungufu wa ARV
Baadhi ya vituo vya afya nchini vinakabiliwa na upungufu wa dawa za kufubaza makali ya virusi vya UKIMWI kwa watoto waliokwisha anza kutumia dawa hizo na kunasababisha watoto kutopata dozi sahihi na kwa wakati kunakopelekea watoto kupatwa na usugu