Vituo vya afya vyakabiliwa na upungufu wa ARV

Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI nchini Tanzania Dkt. Fatma Mrisho

Baadhi ya vituo vya afya nchini vinakabiliwa na upungufu wa dawa za kufubaza makali ya virusi vya UKIMWI kwa watoto waliokwisha anza kutumia dawa hizo na kunasababisha watoto kutopata dozi sahihi na kwa wakati kunakopelekea watoto kupatwa na usugu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS