Yanga, Azam na Simba kufukuzana tena wikiendi hii

nembo ya bodi ya ligi kuu nchini .

Mshikemshike wa ligi kuu ya soka Tanzania bara unatarajiwa kuendelea kushika kasi yake hapo kesho kwa viwanja nane vikiwa kwenye wakati mgumu wikiendi hii ikishuhudiwa timu 16 zikishuka dimbani kusaka alama tatu muhimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS