AT azibeza jitihada za Said Fella

Staa wa muziki kutoka Zanzibar AT

Staa wa muziki AT, amezikandia jitihada zilizoanza kuchukuliwa kusimamia wasanii wa muziki kutoka Tanzania visiwani, kauli yake ikihusishwa na hatua ya msimamizi maarufu wa muziki hapa nchini, Said Fella kuchukua wasanii Baby J na Berry Black.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS