Ligi kuu kuendelea kesho, Yondani kuikosa Simba SC

Ligi kuu ya Soka Tanzania Bara inatarajia kuendelea hapo kesho katika mzunguko wake wa 19 kwa kupigwa mechi tano katika viwanja mbalimbali hapa nchini huku mzunguko huo ukihitimishwa siku ya Jumapili kwa kupigwa michezo miwili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS