Msifiche ugonjwa wa kipindupindu - Kigwangala
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetoa rai kwa viongozi wa mikoa na wilaya, wataalamu na wanajamii kutoficha taarifa ya ugonjwa wa kipindupindu kwani kufanya hivyo kunakwamisha juhudi za kuudhibiti ugonjwa huo nchini.

