Halmashauri zaagizwa kulipa madeni watumishi

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI),Mhe. George Simbachawene

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI),Mhe. George Simbachawene ameziagiza halmashauri zote nchini kuanza mara moja kulipa malimbikizo ya madeni ya watumishi hususani walimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS