Tumuenzi Ngwea :Stara Thomas

Msanii wa Bongo fleva na gospo Stara Thomas

Msanii mkongwe wa bongo fleva ambae kwa sasa ameamua kujiingiza katika muziki wa injili pia Stara Thomas amewataka wasanii na mashabiki kumuenzi rapper Albert Mangwea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS