Balozi ataka Stars ianze na Kenya imalize na Misri

Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk. John Haule akiwa pamoja na wachezaji na viongozi wa timu ya Taifa Stars.

Wachezaji wa kikosi cha timu ya soka ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars wamepewa ubani na balozi wa Tanzania nchini Kenya akiwatka waanze na ushindi kesho dhidi ya Kenya na kwenda kumalizia kwa ushindi dhidi ya Misri wiki ijayo watakapokuna Juni 4.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS